| Burundi Transparence | |
![]() | |
Site Menu:
| Habari
Watiwa mbaroni sababu ya kusoma taarifa kwenye mtandao Ijuma, tarehe 04/01/2008, watu wawili walitiwa kiziwizini na Polisi wa mkoa wa Kirundo kwa kosa la kukutwa na habari za kwenye mtandao. Vitendo hivyo vya unyanyasaji wa wananchi vinaongozwa na Burikukiye Victor na Ruvuna Oscar ; wakuu wa mkoa wa Muyinga na Kirundo na wao wakipewa amri na Mheshimiwa Rais. Ikumbukwe kuwa katika wilaya ya mkoa wa Muyinga wananchi kumi walitiwa kiziwizini siku ishirini na polisi ya hapo kwa jambo hilo tulilo taja hapo juu.
Burundi Transparence
|
Burundi Transparence © 2007 | |